Saturday, November 26, 2011

utamaduni wa msukuma


Shaggy baada ya kusimikwa ubalozi wa wa Wasukuma huku Bujora mchana



Balozi wa Wasukuma Shaggy kwenye kiti chake cha enzi



Jaji Mark Bomani akimsimika Shaggy ubalozi wa Wasukuma




Balozi wa Wasukuma akishukuru wananchi wa Mwanza kwa heshima hiyo



Wachezaji wa ngoma ya Kisukuma wakikaribisha wageni



Shaggy akitembelea jumba la Makumbusho la Wasukuma Bujora






Shaggy akiwa kazungukwa na wanautamaduni wa Kisukuma.

No comments:

Post a Comment